Its been a year since we saw Dr Love from Xtrem Empire Music Management posting a lady with "my Love" caption. Will the doctor show us his new lover or he will just be posting the back of the lady. This is a recent picture that he posted with a caption "Namficha" What should we understand, is he in love or is he just flirting with this new gal. Stay turn for this and many more news from our blog. Don't forget to follow him on YouTube @officialdrlove https://youtube.com/@bjaydrlove8903
Habari zinazo chipuka asubui ya leo ni kwamba msanii tajika almaarufu kama Sadi One(mtoto wa taifa) amewajibu wasanii na wote wanao mtupia maneno huku nje. Katika post yake ya Instagram aliyopost ame wapa maneno makali wasanii hao na pia nikaona ameeka status akiuliza mafuns wake kama atoe nyimbo yenye itawajibu kwa ujumla ama vipi. Toa maoni yako ama utume ujumbe mfupi kwa 0755855965 ama WhatsApp 0701386531.
Kiinacho shangaza ni kuwa baada ya ukimya wa Sadi One almaarufu Mtoto wa Taifa, amerudi na kumjibu Chawa wa malindi huku akimuita Embarambamba wa Malindi. Maoni yako ni gani..?
Sure bro man🤙
ReplyDelete