Posts

JE TUTAKIMBILIA WAPI..? MAAFISA WEZI

Image
Huduma ya taifa ya polisi NPS imekanusha madai kwamba maafisa wa polisi waliiba vipatakalishi kutoka madukani jijini Nairobi wakati wa maandamano ya kulalamikia mauaji ya mwalimu na mwanablogu Albert Ojwang. Katika taarifa, NPS imeelezea kwamba inafahamu kuhusu video inayosambaa mitandaoni inayoonyesha afisa mmoja wa polisi akiwa amebeba vipatakalishi hivyo. Mkurugenzi wa mawasiliano katika NPS Muchiri Nyaga aliendelea kusema kwamba polisi hao walikamata mshukiwa mmoja na kumpokonya vifaa hivyo vya kielektroniki, ambavyo vimehifadhiwa katika kituo cha polisi cha Central Nairobi kama idhibati. Huduma hiyo ya taifa ya polisi imesema inaendeleza uchunguzi kwa lengo la kukamata waliohusika na visa vya uhalifu wakati wa maandamano ya jana, ili wachukuliwe hatua za kisheria. Copied from known sources 

MKOPA UNDER CRISIS

Image
Fintech giant M-Kopa has been ordered to pay KSh 885.87 million in taxes by the Tax Appeals Tribunal in a landmark ruling on tax jurisdiction. The tribunal's decision came after M-Kopa failed to provide evidence proving its place of effective management was based in the United Kingdom (UK).

HARMONIZE AGOMA KUTOA TENA NYIMBO

Harmonize Amesema Kwamba Album Yake Ya "Muziki Wa Samia" Ndio Album Ya Mwisho Kwake Lakini Mi Nadhani Atakuwa Ameongea Katika Hali Kutofikiria, Umri Wake Bado Mdogo Na Muda Wake Kwenye Muziki Bado Mchache Sana Kauli Kama Hizi Huwa Zinatolewa Na Wakongwe Ambao Wanaenda Kuachana Na Muziki.  Harmonize Atakuwepo Kwenye Muziki Zaidi Ya Miaka Kumi Mbeleni Kama Mungu Atamjalia Umri Mrefu Hivyo Sidhani Kama Katika Hiko Kipindi Chote Hatatoa Album, Mi Nadhani Ajifunze Kuongea Kwa Kutafakari Analotaka Kusema Kabla Hajalisema Asioongee Tu Ili Kuwafurahisha Watu Fulani.